AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa kiwango cha kimataifa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amewaasa wanaye kuwa wanatakiwa kuitumia vyema midomo yao.
Haijafahamika kwanini Diamond, ametoa wosia wa namna hiyo na huenda amefanya hivyo kutokana utamaduni wetu sisi Waafrika kupenda kuongea ongea.
Pia inawezekana kuwa Diamond ametumia ujumbe huo kuwaumbua mahasimu wake ambao wamekuwa wakisema kuwa Nillan si mwanaye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK