AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo April 12 Rais Dkt John Pombe Magufuli amezindua awamu ya kwanza ya ujenzi wa reli ambayo itakayorahisisha usafiri wa Dar es Salaam hadi Morogoro kwa njia ya treni.
Inawezekana mtu akawa anaishi Morogoro na kufanya kazi zake Da es Salaam kwani usafiri utakuwa wa uhakika na haraka zaidi. Rapper Stamina ambaye ni mzaliwa na Morogoro anayefanya mishe zake Dar, amehaidi kurudi kuishi Moro na wakati huo huo akiendelea kufanya mishe zake Dar endapo njia hiyo ya usafiri itaanza kufanya kazi.
“Ikikamilika hiyo Rais, naenda kuishi zangu Morogoro tu,” ameahidi Stamina wakati akipiga story na Prince Ramalove kupitia Kings Fm Leo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK