Toka Kwenye Vifungo Hivi,..Utengeneze Zaidi Mafanikio...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Vipo vifungo vingi ambavyo vinaweza kukufunga na kukupotezea mafanikio yako. Vifungo vingine unavijua na vingine unaweza ukawa huvijui. Kwa mfano;-

Acha kujiweka kwenye vifungo vya kidini na kuamini utajiri mkubwa ni dhambi. Kumbuka, mafanikio hayana uhusiano moja kwa moja na kutenda mabaya.

Acha kuamini umaskini ndio ni kitu kizuri kwako. Hivyo ukashindwa kuweka juhudi zako zote kwa kisingizio cha kwamba ukiwa maskini ni sawa kwako.

Acha kuamini ukiwa na pesa nyingi ndio ushetani. Utajikwamisha sana wewe mwenyewe kufikia mafanikio yako bila kujijua ukiwa upo kwenye kifungo cha dini.

Acha kuamini kwamba Mungu atakusaidia kila kitu, hata kama umebweteka na wala hujitumi sana yaani huweki juhudi sana, ndio maana amekupa akili ufikirie na vingine.

Acha kutumia uvivu wako kutumia kama kisingizo ukiamini hio ndiyo imani sahihi.. Kama kuna kazi unayotakiwa kufanya, fanya kweli. acha kuendekeza uvivu unaomba kazi kwenye kampuni moja halafu unamlaumu Mungu. Ukiona uko hivyo ujue kabisa upo kwenye kifungo..

Toka kwenye kila aina ya vifungo ambavyo unaona vinakukwamisha kufanikiwa sana kwenye maisha yako, kuwa huru ili utengeneze mafanikio yako.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad