Ugomvi wa Gwajima na Makonda Wamfikia Askofu Mkuu wa KKKT..Ajiingiza na Kuibuka na Hoja Hizi Kuntu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sakata la Gwajima na jina la Daudi Bashite limeendelea kutikisa maeneo mbalimbali hapa nchini ambapo Askofu  (mstaafu)  wa kanisa la  kiinjili la  Kilutheri  Tanzania (KKKT)  dayosisi ya  Iringa Dkt. Owdenburg Mdegella amefunguka  na kuwataka wananchi kujikita katika shughuli za  kiuchumi badala ya kupoteza muda  mwingi  kujadili  mambo  ya  Daud Bashite.

Askofu Mdegella alisema hayo wakati  akitoa  salama  za Pasaka  jana katika  usharika  wa kanisa kuu, ambapo alidai kuwa watanzania wanapoteza  muda  mwingi kwa jambo hilo badala ya  kushughulika na mambo ya msingi yenye  tija kwa  Taifa .

Alisema kwa wiki tatu watu wanajadili Bashite na Gwajima badala ya kufanya kazi kwa kuwa Gwajima na Bashite wote wametoka Mwanza hivyo wanajuana vizuri.
Alisistiza kama kuna mtu  amedandia  vyeti  atakamatwa  kwa  utaratibu   na kuwataka watu wengine kujikita katika kufanya kazi.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad