Upasuaji wa Kwanza wa Kupandikiza Kichwa(World's First Human Head Transplant)..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mara ya kwanza tangu kuumbwa kwa dunia hii tutashuhudia opareshen kubwa ya kupandikiza kichwa cha mtu.

Tarehe ya opareshen ilishapangwa itakua mwezi wa 12,2017
opareshen itafanywa na madaktari na manesi 150 kwa pamoja wakiongozwa na daktari mtaalamu wa mishipa ya fahamu(neurosurgeon) Sergio Canavero.
Opareshen inakadiriwa kutumia masaa 34.

Gharama za opareshen hii ni dolla za kimarekani mil 30..Inasemekana kuwa dr sergio Canavero alifanya utafiti kwa miaka 30 hadi mwaka huu 2017 ambapo opareshen hii itafanyika..

Walioko interested na medical issues ngoja tusubili kama itafanikiwa na mgonjwa ataishi baada ya hio transplant. Tukae mkao wa kula hadi hio December kushuhudia kitakachotokea
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyo ndio atakua bingwa wa madactari wote duniani hii Kali kuliko zote

    ReplyDelete

Top Post Ad