AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Anthony Joshua ambaye alikuwa katika ardhi ya kwao England katika jiji la London, hakutaka kuwaangusha mashabiki wake waliyojitokeza katika uwanja huo kutazama pambano hilo dhidi ya Wladimir Klitschko ambaye pia ni mzoefu katika mchezo wa ngumi.
Pambano hilo ambalo Joshua mwenye umri wa miaka 27 ambapo alimpiga kwa KO round ya 11 kati ya 12 Wladimir Klitschko mwenye umri wa miaka 41, limemfanya kuwa Bingwa wa dunia wa boxer wa uzito wa juu.
Bondia Anthony Joshua alivyoshinda kwa KO dhidi ya bondia Wladimir Klitschko round ya 11 katika pambano la round 12 #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/9lyIN9cX8b— millard ayo (@millardayo) April 29, 2017
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK