Waajiri Watakaokagua Wafanyakazi Sehemu za Siri Kukiona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Joyce Mukya, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Ulemavu, Mhe. Antony Mavunde amesema serikali itawachukulia hatua waajiri wote wanaofanya udhalilishaji wa namna hiyo.

Huku akieleza kuwa serikali imekwisha toa maagizo ya namna ya kufanya ukaguzi bila ya kudhalilisha utu wa mtu.

Mbunge wa viti maalum Joyce Mukya aliilalamikia kampuni ya madini ya Tanzanite One kwa kuwa na tabia ya kuwakagua kinyume na maumbile wafanyakazi wa migodini, jambo ambalo serikali imeahidi kuchukua hatua.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad