Wabunge 'Wasasambuana' Bungeni..Ni Kuhusu Ripoti Hii ya Twaweza..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hatimaye mvutano wa wabunge wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) na Chadema umehamia katika ripoti ya utafiti kuhusu masuala ya kielimu uliokuwa ukitolewa na shirika lisilo la kiserikali la Twaweza.

Wabunge wa Chadema walichangia kwa kueleza namna Serikali ilivyoshindwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa na walimu hasa wa sayansi.

Mbunge wa Serengeti (Chadema), Marwa Chacha amesema Serikali imeitelekeza elimu na kuwafanya vijana wa Kitanzania waishi kwa kupata elimu ya kubahatisha.

Hata hivyo, wabunge wa CCM, Hawa Ghasia na Fatuma Tawfiq ambao walijibu kuwa kauli za wabunge wa Chadema  ni za uchochezi kwa kuwa Serikali imekuwa ikifanya mambo yake kwa utaratibu na ubora wa hali ya juu.

Awali, Mkurugenzi wa Twaweza, Aidan Eyakuze aliwaambia wabunge kuwa hali bado ni mbaya kwa wanafunzi wa Kitanzania hasa shule za msingi.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad