10 Phylosophy of Life. Hebu Jaribu Kuzifuata Hizi kwa Usalama Wako..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


FALSAFA BORA YA MAISHA YAKO!
1-Uckubali kuzoeana na mtu usiyemjua
2-Unapoitwa ghafla usigeuke,puuza kama husikii ili kupima sauti ni ya nani?
3-ucpendelee kutumia njia moja,badilisha njia nyingine ili usiwe maarufu kwa njia fulani
4-popote utakapo kwenda fuata shida yako iliyokupeleka
5-Epuka kuchunguza na kufuatilia kitu kisichokuhusu na epuka kulaumu hadharani
6-jitahid kumjua mtu tabia yake
7-mjali mwenzako tunza siri na jitahid kutimiza ahadi
8-Ukiaminiwa basi na wewe jiaminishe.
9-Usiwe na tabia ya kudharau wenzio
10-Ridhika na ulichonacho kwa MUNGU useme ahsante...
ongezea na ww falsafa yako!!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad