AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beki wa timu ya Simba SC Abdi Banda ameaga rasmi jana baada ya timu yake kushinda Kombe la Shirikisho kwa kuipiga bao 2 kwa moja Mbao FC katika mchezo uliofanyika mjini Dodoma
Abdi Banda anasema imefika wakati sasa anapaswa kutafuta maisha mengine nje ya klabu hiyo au sehemu nyingine huku akisema atakumbuka mambo mengi mazuri katika klabu hiyo
"Ahsante Mungu nashukuru kwa hiki ulichotujaalia. Zawadi ya mashabiki wa Simba nawaachia acha na mimi nitafute maisha sehemu nyingine. Nitamiss vitu vingi hasa 'support' yenu na moyo wenu wa uvumilivu ahsanteni sana na kwaherini" aliandika Abdi Banda
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK