AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
May 20, 2017 Haji Manara ametumia ukurasa wake kuwaeleza Yanga kuwa Simba hawajakata tamaa kuhusu kudai Point zao 3 walizokuwa wamepewa na baadae kupokonywa kwenye ishu ya mchezaji aliyecheza akiwa na kadi tatu za njano, huku akisisitiza kuwa Yanga watalipeleka Kombe msimbazi kwa magoti…
”Last week nilipowapongeza Yanga kwa ushindi na kuwaambia mapambano yanaendelea,sijui kama tulielewana!! Bila shaka sasa mmenielewa,,soon tutapewa haki yetu,MWANA KULITAKA,MWANA KULIPEWA.
“Hivi unadhani FIFA wana figisu guys? kadi tatu za njano ni kukosa game inayofuata tu no way out!! ukizingatia reppti za mwamuzi na kamisaa na bodi inayosimamia ligi, sasa mjiandae kisaikolojia kulileta kombe kwa magoti! @Yangasc @simbasctanzania” – Haji Manara
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK