AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapema leo Saa 9:30 Am waliripoti kituo kikuu cha polisi (Central Police) Arusha Meya wa jiji la Arusha Mh. Kalisti Lazaro , Katibu wa TAMONGSCO Kanda ya kaskazini Mh. Leonard Mao, mkuu wa shule ya Lucky Vincent ,na viongozi wengine kwa lengo la Kukabidhiwa fedha kiasi cha 18 Millioni ambayo ilikuwa rambi rambi kwa ajili ya ajali ya Lucky Vincent au kutajwa kesi inayowakabili viongozi hao na kufikishwa mahakamani viongozi hao endapo wangebainika na kosa.
Sawia na hilo nikamtafuta Meya Kalisti Lazaro kwa njia ya Simu ambapo alisema "Nimewasili central nikaambiwa turipoti ijumaa" Kalisti Lazaro
Kuhusu Fedha za rambi rambi
"Fedha zipo kwa OCD pamoja na simu yangu" Bw. Mao
Akizungumza kuhusu fedha hizo pamoja na tukio nzima la kukamatwa viongozi hao pamoja na Waandishi wa habri Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha RPC Mkumbo alisema "Bado sijui chochote kuhusu hizo fedha pamoja hatua zinazoendelea dhidi ya viongozi hao akiwemo Meya
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK