HAJI Manara Aibukia Facebook, Aitaka TCRA Kumshughulikia Shabiki Wa Yanga..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara ameiomba mamamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA, imchukulie hatua shabiki wa Young Africans, Pascal Lameck aliyeposti kwenye mtandao wa kijamii wa facebook taarifa ya uongo kuwa basi la wachezaji wa Simba limepata ajali na wachezaji wote wamevunjika mguu, huku kocha wao, Joseph Omog akiwa hajulikani alipo.

Kupitia posti aliyoitoa kwenye mtandao wa facebook, Manara amehoji uhalali wa shabiki huyo kuendelea kuwepo uraiani akitazamwa bila ya kuchukuliwa hatua za kisheria na mamlaka ya mawasiliano ya TCRA.

“Always huwa najiuliza mashabiki wa aina hii tunawaacha kwa nini?  Na TCRA ichukue hatua, tusingoje hadi watukanwe wakubwa tu, hatuwezi kusamehe kila kitu,” ameandika Manara kwenye posti yake aliyoiambatanisha na posti ya shabiki huyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad