AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule"amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka mikononi mwa Clouds Media,ni kwamba amebuma kabisa kutokana na ukosefu wa promo au bado anajipanga kuja kumshinda Nandy!
Hilo linanifanya nianze kuamini kuwa Clouds Media ndio kila kitu kwa Wanamuziki hapa Bongo ukiwa diss umejichimbia kaburi lako mwenyewe...Au Unaonaje Mdau?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK