Hivi ndivyo Idris alivyoamua kumtania Linah kuhusu ujauzito wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya msanii Linah Sanga kuachia picha mtandaoni zinazoonyesha ujauzito wake, mchekeshaji Idris Sultan ameamua kutia neno katika moja ya picha hizo.

Kupitia instagram Idriss ameandika haya machache “best celebrity pregnancy photos Tanzania nzima, shoutout to the baby it is photogenic.

“Ila swali ni moja kama unakaa unatushauri raha tujipe wenyewe alafu unatuacha kwenye mataa hii mimba jinsi ulivyoipata kumbe uliteleza ukadondokea virutubisho eee @officiallinah alafu @director_ghost njoo uone hii picha ya msanii ni kali nilitaka tu uione wala hauhusiki,” aliandika Idriss.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad