AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wengi ambao hamkuwahi kuiona au kufahamu kama kuna nchi duniani ina noti ya trillioni 100, hii hapa imetoka kule kwa Mugabe (Zimbabwean dollar), ingekua ni US dollar hii noti basi ingekua kubwa kuliko jumla GDP yetu tangia tupate uhuru mpaka sasa hivi.
update 1:
naona wengi mnataka kujua thamani ya hii pesa. ok ipo hivi.
100 trillion zimbabwean dollar = 0.4 US dollar
na kwa hela ya kwetu ni sawa na tsh 850.
Update 2:
Zimbabwe haitumii tena Zimbabwean Dollar, wameamua ku adopt US dollar (USD) baada ya kuona haiwezi tena ku control hyper-inflation ya pesa yake (ZIM Dollar).
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hii ni nchi iliyotawaliwa na Rais aliyedumu kwa miaka mingi. Bado wanamchagua. Yangu macho.
ReplyDelete