AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mazingira, January Makamba amekana katu katu kuwa alichukia na kususa baada ya Rais Magufuli kumtosa katika nafasi ya Waziri Mkuu wa awamu ya tano.
Akitiririka mubashara, Makamba ametabainisha kuwa baada ya uchaguzi siku zote amekuwa akiomba asichaguliwe katika wadhifa huo mkubwa bongolala maana ungeweza kumharibia keria yake kwenye siasa.
Bado nina umri mdogo na nina safari ndefu sana kwenye siasa na kuwatumikia wananchi. Ukichaguliwa nafasi hizo kubwa ina maana unaua karia na huwezi kuendelea na siasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK