Kutoka Arusha: Idadi ya vifo vya wanafunzi imeongezeka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kwenye chanzo cha kuaminika Mkoani Arusha, Mwanafunzi aliyekuwa amelazwa katika chumba cha kuhifadhia wagonjwa mahututi (ICU) Doreen Mshana amefariki leo mchana.


Kifo cha Doreen Mshana kimeongeza idadi ya vifo kufikia 36 ambapo wanafunzi ni 33, Walimu wawili na dereva mmoja baada ya ajali iliyotokea jana wilayani Karatu Mkoani Arusha.


Taarifa za kifo cha binti huyo zilianza kusambaa jana kwenye mitandao ya kijamii hali iliyompelekea Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Charles Mkumbo kulitolea ufafanuzi


."Kuna mmoja walimripoti amefariki ndiyo maana wakasema 33 lakini siyo kweli waliofariki ni wanafunzi 32 walimu wawili na dereva mmoja. Hakuna kifo kilichoongezeka, taarifa zilisambaa kuwa yule mwanafunzi  aliyekuwa kapoteza fahamu amefariki lakini siyo kweli. nawataka watoa taarifa wa confirm habari kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika.- alisema Mkumbo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad