Maneno ya Wema Sepetu baada ya kifo cha Mzazi mwenzake na Zari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kifo cha mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mume wa Zari The Boss lady, Ivan Semwanga ni moja kati ya habari zinazozungumzwa sana kwenye mitandao ya kijamii kwa kugusa hisia za wengi.

Baada ya Zari kuthibtisha kifo cha aliyekuwa mume wake, watu mbalimbali wamekuwa wakituma salamu zao za pole kwa familia wakionesha kusikitika kwa kuguswa na msiba huu ambapo miongoni mwa watu hao ni Miss TZ 2006 Wema Sepetu.

Wema aliandika kwenye account yake ya Instagram
“Broken hearted…💔💔💔… Rest In Peace Ivan… 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 … SHOCKING NEWS kwakweli… rambirambi zangu kwa familia nzima… Mungu awatie nguvu wale watoto jamani… 😔 bado ni wadogo mno… na Mungu amtie nguvu Mama watoto wako…  utakua wakati mgumu kwenu lakini itapita”

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad