Mange Kimambi " Nimekuheshimu Sana Alberto Msando Kwa Maamuzi Magumu Uliyochukua"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Taarifu kuwa Alberto Msando amejiuzulu nafasi yake ACT Wazalendo kwa kashfa ya Video Chafu na Gigy Money Mange Kimambi ameandika haya:

From @mangekimambi_ - I wish CCM kungekuwa na viongozi wenye courage hii ya kuwajibika wanapotenda Makosa! Huko CCM kiongozi ameshajulikana ana vyeti feki ila bado anang'ang'ania madaraka na anagoma kuwajibika, kiongozi amekutwa anatumia jina feki meaning alikula kiapo cha Rais kwa kutumia jina feki still hawajibiki! Kiongozi imejukikana anajenga mansion la mabilioni kisirisiri huko Mwanza na ushahidi umewekwa still hatuoni uwajibikaji wowote ule, kiongozi imejulikana anatumia magari ya Watu aliowatuhumu kuwa wauza unga still hawajibiki, kiongozi kaonekana akivamia studio kwa mitutu still hawajibiki, why??? .
.
We are all human and we make mistakes! Ila unapokuwa kwenye nafasi ya uwongozi second chances are hard to come about! Kusema kweli alichofanya Alberto sio kitu ambacho wanaume wa TZ hawafanyi tena they do worse alichokosea yeye ni ku-Allow ile recording! That's the only thing nimeshindwa kuelewa, how did he allow that to happen??? Kusema kweli Mimi Hata nikiwa napiga story tu na Watanzania huwa nataka simu zote nizione mezani Maana mtu hachelewi hata kuwa anakurekodi!
.
.
Alberto nimekuheshimu kwa maamuzi haya uliyoyafanya! Ingekuwa ni kiongozi wa CCM asingewajibika ingepita tu as if hajafanya kitu! angeendelea na maisha yake
.
.
Ila nna swali so Alberto siasa ndo basi tena?? Au? Kwani hawezi kuingia kwenye chama kingine akaanza mpya?? Aiseee Giggy Money umetupotezea kichwa tulichokuwa tunakihitaji sanaaaaaa!
.
.
Kaka Alberto we Love you na hatutosahau ulichowafanyia Wema Sepetu na wale wasaniii wengine baada ya Bashite kuwabambikia makesi, nchi Ina wanasheria maelefu Ila ni wewe peke yako uliejitoa kuwawakilisha wasaniii wale tena bureeee! .
.
Wewe ni binadamu hujakamalika, if anything Leo ume prove wewe unafaaa kuwa kiongozi na unajua nini Maana ya uwongozi sababu umeona kosa lako, ingekuwa ni maViongozi ya CCM yangebebana na wala hakuna ambae angejiuzuru!! Tuangeambia tu ' Mimi Sipangiwi'
.
.
.
#Repost @jamiiforums (@get_repost)
・・・
Mshauri Mkuu wa ACT Wazalendo, Wakili Albert Msando amejiuzulu nafasi hiyo na kueleza kuwa anawajibika kwa kosa la kukiuka maadili.
.

Uongozi wa Chama wapokea barua na wakubalina na hatua hiyo ya kuwajibika kw
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad