AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mmiliki wa shule ya msingi Lucky Vincent,Innocent Mosha amefikishwa mahakamani jana mjini hapa kujibu makosa manne yaliyosababishwa na ajali ya basi lake lililouwa watu 35 wakiwamo wanafunzi 32.
Pia makamu Mkuu wa shule hiyo,Logino Vicenti amepandishwa kizimbani kujibu shitaka moja la kuongeza abiria 13 kwenye gari lililopata ajali.
Mwendesha mashitaka Rose Sulle ameiambia mahakama mbele ya hakimu mkazi Desderi Kamugisha kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Watuhumiwa wamepata dhamana kila mmoja yenye thamani ya Sh 15 milioni. Kesi itatajwa tena Juni 8 mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK