AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema kwa mujibu wa sheria za serikali, haiwezekani tu kuifuta bendi kwakuwa inaweza kuendelezwa na watu waliosalia.
“Nilikusudia niivunje Jahazi kama ninavyovunja nyumba,” Mzee Yusuf alikiambia kipindi cha Hatua Tatu cha Times FM. “Lakini sheria za nchi hakuna utaratibu huo, wewe ondoka na ujiachishe kila kitu.”
Aliongeza kuwa kwa sasa hajui chochote kinachooendelea kwenye bendi hiyo na wala hataki kujua. Hata hivyo alikiri kuwa tangu ameacha muziki ameyumba kiuchumi japo hajutii na moyo wake una amani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK