NAPE: Wabunge Waache Kuisifia na Kuipigia Makofi Serikali Sio Kazi Yao..!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nape alikuwa akijibu maswali mbalimbali aliyokuwa akiulizwa na mojawapo kuhusu bunge amesema bunge mkutano wa wananchi, wabunge wapo pale kwa niaba ya watanzania majimboni na kazi yao ni kuisimamia na kuishauri serikali na sio kuipigia makofi na kuipongeza kila kitu na wakifanya hivyo basi tutapiga hatua

Amesma pia vyombo vya dola visitumie mabavu kwani hii italeta chuki kwa vyombo hivyo na kwa rais na kusema Tanzania hatujazoea mabavu akatolea mfano wa tukio la Malima na kusema yeye alikua akiulizia tu ajabu polisi akamtishia vile

Pia amesema sasa yupo huru zaidi baada ya kuacha uwaziri na anafurahia maisha
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad