AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anatarajiwa kuwasili nchini leo (Jumatano) saa 10.00 jioni.
Rasi Zuma atakuwa nchini kwa ziara ya siku tatu kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais John Magufuli.
Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini.
Katika ziara hiyo Rais Zuma ataandamana na mawaziri sita pamoja na wafanyibiashara zaidi ya 80 kutoka Afrika Kusini.
Pia atashirikia mkutano wa wafanyabiashara, atazindua jengo Ubalozi wa Afrika Kusini na kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK