RASMI..TRA Washusha Rungu la Kodi kwa Wamachinga..Yawataka Kuanza Kulipa Kodi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAMLAKA ya MapatoTanzania (TRA) imetangaza mkakati wa kuanza kuwasajili wafanyabiashara wadogo maarufu wamachinga ili waweze kutambulika na kurasimishwa rasmi.

Mkurugenzi wa Elimu Kwa Walipa Kodi, Richard Kayombo, akizungumza katika semina ya waandishi wa habari jana amesema wamachinga baada ya kutambuliwa watawekewa utaratibu mzuri wa kufanya biashara zao na kuchangia mapato Kwa serikali.

Kuhusu Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), amesema TRA haitozi Kodi Kwa mizigo inayosafirishwa kwenda nje ya nchi badala yake mizigo hiyo inatozwa Kwa huduma zinazofanyika nchini.

Mada zilizojadiliwa ktk semina hiyo ni Kodi ya Majengo na elimu ya Kodi Kwa anayeanza biashara.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad