SERIKALI Yakanusha Kununua Ndege “Kimeo” Aina Boeing & 787-Terrible Teen..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali kupitia Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dr. Mbarawa, imesema sio kweli kwamba ndege iliyonunuliwa na serikali ni miongoni mwa ndege ya terrible teens ambazo zimekosa soka, kutokana na kuwa na uzito mkubwa unasababisha kula mafuta zaidi na haziwezi kwenda umbal mrefu bila kuongeza mafuta.

Terrible teen ni ndege za mwanzo Aina ya dreamliner 787 zilizotengenezwa na miaka 6-7 iliyopita. Ndege iliyonunuliwa ina uzito kidogo ukilinganisha na dreamliner za zamani, za sasa 787 zina uzito wa tani 4-6 ukilinganisha na dreamliner za mwanzo

Kati ya ndege hizo Terrible teen zilizokosa soka , Terrible namba 13 n 14, 16, 17, 18 ethiopia airways wameonyesha nia ya kuzichukua, terrible teens line namba 11 inatumiwa na boeing business jet, namba 12 Ethiopia airways wameonyesha nia kuichukua, terrible teens line namba 4 na namba 5 zinatumiwa na boeing kama testing aircraft

Ndege inayoonyweshwa kwenye mitandao line number yake ni 19 na ya kwetu ni line namba yake ni 719, Napenda kuwahakikishia Watanzania wenzangu kuwa Serikali imenunua ndege mpya na ya kisasa na kwa bei nafuu dreamliner inatumia injini za aina 2 ya RR au GE, ndege tuliyonunua sasa hivi inajengwa na kinachoendelea sasa hivi tunachagua engine kabla ya ndege kumalizwa unapewa uhuru wa kuchagua engine. Serikali imeweka ratiba ya kufuatilia ndege hiyo hatua kwa hatua mpaka ikamilike
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani hiss ye jitto no asilinia ngapi Kyle kigamboni?

    ReplyDelete

Top Post Ad