AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji Steve Nyerere ameeleza kuwa, iwapo zoezi la ukaguzi wa vyeti feki lingegusa tasania ya uigiza yeye angecheka sana.
Kupitia mtandao wa instagram, ameandika ujumbe huu, “Sidhani kama hili zoezi la vyeti feki limeisha, lingekuja mpaka huku kwetu ningecheka sana, maana huku kuna makundi 2 wasaniii feki (2) na vilaza wasio jitambua hawa wote ni mzigo kwa TAIFA,”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK