VIDEO: Florah kuhusu kumualika harusini mume wa zamani na kumzidi umri mume mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

April 30 2017 Mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Madame Flora (zamani Flora Mbasha) alirudi kwenye headlines baada ya kufunga ndoa kwa mara ya pili baada ya kuachana na mume wake wa zamani (Emmanuel Mbasha).

Sasa comment zimekuwa nyingi kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na umri wa mume wake wa sasa aitwae Daudi na wengine wanasema haiwezekani kwa Mkristo kufunga ndoa ya pili, mengine ni kuhusu kumualika Mume wake zamani kwenye harusi, maswali yote kayajibu kwenye hii Exclusive Interview hapa chini. VIDEO:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Anapenda wanaume wa kufanana... copy ya Mbasha.. ha ha haaa uwiii

    ReplyDelete

Top Post Ad