AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge wa Ukawa na makada wao waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando.
Hakimu Mkazi Mkuu,Huruma Shaidi amewaachia huru leo wabunge hao baada ya kuwaona hawana kesi ya kujibu.
Hakimu Shaidi amesema katika ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka umeshindwa kuthibisha, hata mlalamikaji Mmbando hakumbuki ni nani alimjeruhi.
Ushahidi wake ulielezea jinsi washtakiwa walivyojishughulisha na nyaraka siku ya tukio na siyo kumjeruhi.
Kuhusu kushikwa matiti, Hakimu Shaidi alisema;
“Sijui alishikwa matiti na nani?”
Kutokana na ushahidi huo Hakimu aliwaachia huru washtakiwa wote kwa kuwa hawana kesi ya kujibu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK