WABUNGE wa Ukawa Waachiwa Huru kesi ya kumshika Matiti Katibu Tawala..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge wa Ukawa na makada wao waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando.

Hakimu Mkazi Mkuu,Huruma Shaidi amewaachia huru leo wabunge hao  baada ya kuwaona hawana kesi ya kujibu.

Hakimu Shaidi amesema katika ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka  umeshindwa kuthibisha, hata  mlalamikaji Mmbando hakumbuki ni nani alimjeruhi.

Ushahidi wake ulielezea jinsi washtakiwa walivyojishughulisha na nyaraka siku ya tukio na siyo kumjeruhi.

Kuhusu kushikwa matiti, Hakimu Shaidi alisema;

 “Sijui alishikwa matiti na nani?”

 Kutokana na  ushahidi huo Hakimu  aliwaachia huru washtakiwa wote kwa kuwa hawana kesi ya kujibu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad