AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afande Sele amesema hayo baada ya jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango kuwasilisha bungeni mapendekezo ya makadirio ya bajeti ya serikali kwa mwaka 2017/18 ambapo Afande Sele anakiri kuwa ni kweli bajeti hiyo ni nzuri na kusema kama Taifa halijawahi kuwa na bajeti mbaya sana bali huwa na tatizo kubwa katika utekelezaji wa mipango hiyo.
"Kweli bajeti ya mwaka huu ni nzuri sana kabisa. Ingawa kama Taifa hatujawahi kuwa na bajeti mbaya sana. Lakini tumewahi kuwa na utekelezaji mbaya sana wa malengo ya bajeti miaka yote. Mipango siyo matumizi haya basi tuendelee kuwaheshimu na kuwaombea walevi na wavutaji wasigome, wasiugue na ikibidi wasife mapema ili waendelee kuwa vinara wa kulichangia na kulijenga Taifa kupitia ongezeko la kodi kwa bidhaa zao kila mwaka" alisema Afande Sele
Afande Sele alisema haya baada ya serikali kuendelea kupandisha kiwango cha ushuru kwenye vinywaji baridi, bia pamoja na sigara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK