China Waisifia Bajeti ya Tanzania Iliyosomwa Bungeni Hivi Karibuni..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Balozi wa China nchini, Lu Youging amempongeza Rais John Magufuli na Serikali kwa bajeti nzuri iliyowasilishwa jana, Juni 8 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Phillip Mpango.

Balozi Youging ametoa pongezi hizo jana (Ijumaa) Ikulu jijini hapa alikokwenda kufanya mazungumzo na Rais.

Amesema bajeti hiyo imeakisi dhamira za kuongeza kasi ya maendeleo katika sekta mbalimbali za ikiwamo ya ujenzi na miundombinu.

“Lakini pamoja na bajeti nzuri kuwasilishwa uchumi wa Tanzania umeendelea kuimarika na kuwavutia wadau wengi wa maendeleo kuwekeza nchini,” amesema.

Ameongeza kuwa Tanzania inapewa kipaumbele na nchi ya China na kwamba Serikali ya nchi hiyo itaendelea kuwashawishi wawekezaji wengi zaidi kuwekeza hapa nchini.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad