Gigy Money Atoa Povu Kuhusu Lenzi za Macho..Wema Ahusika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kuambiwa ameiga kuweka lenzi katika macho yake ili avutie, Gigy Money ameamua kutoa povu kwa wale wanaomwambia ameiga kitendo hicho kutoka Wema Sepetu.


Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram mrembo huyo asiyeishiwa na vituko ameporomosha mapovu hayo kwa kuandika.

“Yani kuna watu wengine makubwa jinga etiii kabisaaa kisa lens za macho tena bandia watu wanapaniki mm mtu wa ajabu kwel cos nimeamua kuvaa miwani tu lens vaaeni nyie muwe vibonge kama zinanenepesha #kuwafakehakujawaikumuachamtusalama #bilakisahausiwaogopi 😂😂😂,” ameandika Gigy.

Ameongeza
“Povuuuu linaruhusiwa kwanza mnasemaga hakuna wakunijibu sasa alie nijibu ni wema rapper sijuiii?!!!!😂😂😂😂😂😂 alafu nyie timu yake waswahili sana yani wengi wenu mnatokea magomen keko na mwananyala so hamniboi cos mm mwenyewe mtoto wa kurasin so byeeeeeeeeeeee bythiiiiizzzzss pia anaecoment ananikubal kama hunikubal pita kimyaaaaa😂😂😂.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Duh!Hasira za mkizi hizo.....

    ReplyDelete
  2. your so evil and uncivilised my advise better go back to school mtu aliesoma au mungwana hawezi kuanduka upuzi munatia aibu eapecially you think before tou utter

    ReplyDelete

Top Post Ad