Goma Limekubali..Ben Pol Akiri Kuvutiwa na Mchekeshaji Ebitoke..Afunguka Haya Makubwa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya msanii wa RnB Ben Pol kuonana na mchekeshaji kutoka Timamu African Media, Ebitoke aliyefunguka kumpenda muimbaji huyo, Ben Pol amefunguka kuhusu ujasiri wa mchekeshaji huyo.

Muimbaji huyo alipost picha ya mrembo huyo  na kuandika “Watu wengi wenye mafanikio makubwa Duniani walishapitia hatua ya “Kutokueleweka” either na jamii zao au hata na watu wao wa karibu. Usikubali kuyumbishwa kwenye Malengo uliyojiwekea. #Focus #Tuesdaymotivation 💪🏽,” aliandika Ben.

Huwenda baada ya wawili hao kuonana, wameweza kuongea na kuelewana mpaka Ebitoke kufikia hatua ya kujiita Ebi Pol.

Ebitoke amekuwa akiandika katika mtandao wa Instagram kumpenda msanii huyo na kuamua kuwajibu baadhi ya watu kuwa yeye ni sealed na sio used, pia thamani yake sio makeup ya kichina.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad