AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewasili katika viwanja vya Majengo, Moshi kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Chadema, Phillemon Ndesamburo.
Tayari mwili wa Ndesamburo umewasili katika viwanja vya Majengo na kupokelewa na baadhi ya viongozi wa Chadema.
Mwili wa Ndesamburo ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini,utaagwa katika viwanja hivyo na leo saa 10 jioni utapelekwa nyumbani kwake kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Wabunge na Viongozi mbalimbali wa Chadema, akiwamo muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, Frederick Sumaye wapo uwanjani hapo kwa ajili ya kumuaga Ndesamburo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK