Jay Moe Amkana Producer T-Touch

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa mkongwe wa ' hip hop' mwenye hit ya 'Nisaidie kushare' Jay Moe amefunguka kwa kusema hawezi kusainiwa na mtu yoyote yule akidai yeye mwenyewe ana label yake ya So Famous na kuna wasanii wanamtegemea.

Jay Moe amefafanua hayo baada ya kuenea tetesi zilizokuwa zikiwaaminisha watu kuwa huenda akasainiwa na Mr T-Touch ili aendelee kutoa nyimbo chini ya uongozi wa 'Producer' huyo.

"Mimi ni C.E.O wa so Famous entertainment kwa hiyo siwezi kusainiwa na mtu mwingine wakati mimi mwenyewe nataka kusaini watu, mimi sipo kwa T-Touch wala sipo tayari kusainiwa na 'record label' yoyote kwa sababu nina label nataka niikuze nisaidie wengine ambao wapo nyuma yangu, wanataka waone mafanikio yangu ili na wao yawanufaishe" - alisema Jay Moe
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad