Kampuni ya Acacia Yapinga Vikali Ripoti ya Kamati ya Pili Ilitolewa Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kampuni ya ACACIA imepinga vikali ripoti ya Kamati ya 2 iliyochunguza masuala ya madini na kuwasilishwa kwa Rais Magufuli asubuhi ya leo.
.
Yadai haijakwepa kodi na wala haijavunja sheria za nchi. .
.
Imesema siku zote kampuni hiyo imekuwa ikifanya kazi zake kwa uadilifu na hesabu zake zinakaguliwa na kampuni za kimataifa zinazoheshimika.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad