Kigoma: Uteuzi wa Mgwhira Wafanya Baadhi ya Viongozi wa ACT Wajiunge na CHADEMA..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Pichani ni Viongozi wa Chadema Mkoa wa Kigoma wakiwapokea Viongozi na wanachama wa ACT wazalendo walioamua kujitoa katika chama chao baada ya kuchukizwa na kitendo cha Mwenyekiti wao wa Taifa na viongozi wao wa Kitaifa kukubali uteuzi wa Mkiti wao kuwa Mkuu wa Mkoa na kutekeleza ilani ya CCM. 

Wamesema kitendo hicho ni kukisaliti chama, miongoni mwa wanachama hao kuna wengine wemeamua kuachana kabisa na siasa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad