AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu Mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh.Anna Mgwira amepinga kuondolewa uenyekiti wa ACT Wazalendo na kusema kuwa utaratibu haujazingatiwa. Mama Anna amesema bado anao uwezo wa kutumikia wana Kilimanjaro na chama chake pia.
Kiongozi Mkuu wa ACT alitangaza kuvuliwa uenyekiti kwa Anna Mgwira na nafasi hiyo kukaimishwa kwa mtu mwingine.
Ikumbukwe kwamba jana Mh.Mkuu wa Mkoa alifanya kikao na kamati kuu ya CCM mkoa wa Kilimanjaro jambo linalompa wakati mkuu katika kutumikia mabwana wawili
Chanzo: Nipashe
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK