AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais John Magufuli jana, Jumatano ameteua manaibu Gavana wawili wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Taarifa ya Ikulu imesema, Rais amemteua, Dk Yamungu Kayandabila kuwa Naibu Gavana anayeshughulikia Uchumi na Fedha na Dk Bernard Yohana Kibese (Uthibiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha).
Kabla ya uteuzi huo, Dk Kayandabila ambaye anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk Natu Mwamba aliyememaliza muda wake, alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Dk Kibese aliyekuwa mtaalamu wa uchumi na fedha wa BoT, anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Lila Mkila ambaye amemaliza muda wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK