Taarifa za Awali: Moyo wa Hayati Ndesamburo Ulikuwa na Matatizo Makubwa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati uchunguzi wa kifo cha Hayati Philemon Ndesamburo ukiendelea,taarifa za awali zinadokeza kuwa moyo wake ulikuwa na matatizo makubwa.

Kiongozi wa wachunguzi wa kitabibu,Prof. Elisante Masenga amesema kuwa taarifa hiyo ni ya awali na taarifa kamili itatolewa hapo baadaye baada ya uchunguzi kukamilika.

R. I. P. Hayati Ndesamburo!

Chanzo: ITV Habari
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad