Mauaji ya Pwani si Udini, Siasa, Uhalifu,Ujambazi Wala Ugaidi. Nina Mashaka ni Ujumbe kwa Serikali..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa jinsi mauaji yanavyofanyika mkoa wa Pwani nadhani ni ujumbe mzito kwa Serikali toka awamu ya nne.

Wauaji wanaua Polisi,Mgambo,viongozi w Serikali za mitaa na viongozi wa CCM tu na hawagusi kabisa wake zao wala watoto wao wala ndugu wa familia zao.

Kwa mtazamo wangu hapa Kuna kazi kubwa ya kufanya kujua root cause lakini sidhani kabisa kama ni uhalifu kama nilivyoeleza ktk kichwa cha mada.

Wauaji wameamua kuchagua eneo la mkoa wa Pwani kutokana na jiografia yake ilivyo ikiangalia Mkuranga,Kibiti na Ikwiriri ni rahisi sana watu wenyewe nia mbaya kutua kimkakati kufanikisha nia yao.

Serikali Inahitaji intelejensia ya ziada kapata root cause.

IGP kutangaza 10 mil hakuna atakayeichukua kwasababu hakuna atakayekubali kuuwawa kwa 10mil kutokana na wapewa siri kutotunza siri.

IGP tuko Pamoja ila Kuna kazi ya ziada fikiria Nje Pwani Kuna uwezekano ndiyo root cause.

Majeshi mengi yaliyopo Pwani hayatasaidia Kitu kwasababu wanapigana na invisible killers.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad