Mke wa Waziri Mkuu Auawa kwa Kupigwa Risasi Wakati Akiendesha Gari..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mke wa Waziri Mkuu mteule wa Lesotho, Lipolelo Thabane ameuawa kwa kupigwa risasi ikiwa ni siku mbili tu kabla ya kuapishwa kwa mume wake, Thomas Thabane.

Lipolelo ameuawa jana (Jumatano) wakati akiendesha gari karibu na nyumbani kwake, katika mji mkuu wa Maseru.

Taarifa zinaeleza kuwa Thabane ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, alitengana na mwanamke huyo tangu 2012.

Historia inaonyesha kuwa mwaka 2014 wanajeshi walijaribu kumpindua Thabane kutoka madarakani.

Uchaguzi uliofanyika nchini Lesotho mapema mwezi huu ni wa tatu katika kipindi cha miaka mitatu kutokana na migogoroy kisiasa.

Waziri Mkuu huyo ataapishwa Ijumaa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad