AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lulu amesema waumini wawapo makanisani na hata nje wanatakiwa kuzingatia usafi wa mwili na roho kwani kuna muda huwa wanasalimiana wanapokuwa kwenye ibada hivyo kama hawatazingatia usafi huenda ikaleta taabu katika kukamilisha misa au ibada.
“Mnaowekaga Vidole Puani Kanisani,Hamjui kama kuna ule muda wa kupeana mikono au Mnatakaga kugundua nini? Tuwe Wasafi Wa Roho Na Mwili Pia,“ameandika Lulu kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Hata hivyo mrembo huyo ameongeza kuwa kuna siku moja alimuona muumini mmoja akishika pua na leo ameamua kumpa makavu kwa kumuelimisha.
“Wallahy kuna Mmoja alifanya hvyo Pembeni yangu leo Sijampa mkono bali Nimempa UKWELI,“ameandika Lulu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK