Mtatiro - Mwenyekiti wa Cuf Amepigwa Risasi na Polisi Kibiti..Siyo Majmbazi Waliohusika..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jana usiku Katika Oparesheni ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wamempiga Risasi Mwenyekiti wa Kitongoji wa CUF pamoja na raia mwingine, huko Nyamisati, Kibiti.

Mwenyekiti huyo ni Moshi Sefu Machela na ni mwanachama. Na baada ya kumpiga risasi vyombo hivyo vya ulinzi vilimkokota na kuelekea naye kusikojulikana na hali yake haijulikani.

Kinachotokea Rufiji/Mkuranga/Kibiti hivi sasa ni Dola kwenda kulipiza kisasi kwa raia wasio na hatia ( hususani Viongozi wa CUF) ili kufuraisha na kutuliza nafsi za ndugu jamaa na marafiki wa raia waliouawa ambao wengi wao walikuwa viongozi wa CCM.

Hadi sasa viongozi zaidi ya (20) wa CUF wameshakamatwa bila sababu, wanateswa na kisha kiachiwa bila kufunguliwa mashtaka. This is very bad and shameful indeed.

Unapotaka kuwafutalia JANJAWEED wanaowaua viongozi wa CCM kwa kuwatesa viongozi wa CUF unajenga visasi huko mkoani Pwani. Sijui nani anavifundisha vyombo vyetu kuwa mbinu yao hii ya kikatili na ya kuumiza watu wasio na hatia itakuwa na tija. 

I am so worried kuwa taifa letu linaelekea mahali kusiko salama.
Julius S. Mtatiro
09/06/2017
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad