AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mahojiano maalum na Global TV Online, Nay au The True Boy ameweka wazi bila kutafuna maneno, kuwa Young Killer na Baraka wamepoteza mweleko kwenye ramani ya muziki na kwamba kuna mahali walikosea, hivyo wajirekebishe vinginevyo watarudi Mwanza kuvua samaki.
Katika kuonesha amedhamiria kuwawashia moto, prezidaa huyo wa lebo ya Free Nation, amesema Da Prince arudi ampigie magoti prodyuza Kid Bway, kwani ndiye alimuonesha mwanga wa muziki lakini malipo ya dogo ni dharau na mateke ya punda, ndiyo chanzo cha kuporomoka kwake kimuziki.
Kuhusu Young Killer, Nay alisema ni lazima amuangukie Mona Ganstar kwani amemtoa kikazi, lakini amemlipa matusi na dharau. Nay amesema watu hao ‘wamekunja’ hivyo ni ngumu kwa wasanii hao kufika mbali kimuziki. Huku akiwakumbusha kuwa na nidhamu, kuandika mashairi na kuimba havitoshi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK