AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nchi ya ya Botswana na Namibia waliweza kuwa na 50/50 shares Katika migodi ya nchi zao kwanini Tanzania tushindwe??
Ni kuamua tu kukaa meza ya majadiliano na wawekezaji na kufikia makubaliano ya kila mmoja anufaike na inawezekana kabisa.
Hapa hatutaki tena watu wa kujifungia ndani ya mahoteli makubwa na kujificha na mikataba.
Wakina Tundu Lissu,Prof Issa Shivji,Reginald Mengi,Prof Kabudi,Ester Matiko,Mzee Mpinga na wengine wengi tu kwa kuanzia ni muhimu ktk timu ya majidiliano
Tunaweza kufanikiwa kabisa kuwa shares 50/50 kama nchi zingine na tukanufaika na madini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK