AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Star Mix baada ya meseji za mapenzi akichati na mwanadada huyo kunaswa na paparazi wetu, msanii huyo alifunguka kuwa, yupo kwenye uhusiano na mlimbwende huyo kwa muda sasa na kwamba miongoni mwa vitu vilivyomvutia kwake ni pamoja na figa matata aliyonayo.
“Nilikutana na Princess nilipoenda kufanya filamu Nigeria, kwa kuwa yeye ni Mgambia lakini makazi yake makubwa ni Nigeria, nampenda sana naamini yeye ndiye tulizo la moyo wangu, mapenzi ya Kibongo yanitue kwa sasa,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dogo usimtukane mamba kabla ya kuuvuka mto you have no any idea with whom are dealing with hao ni mapopo hapendwi mtu hapo atakupopochoa pesa zako zote za madafu na kukuacha chali dhoofu bin hali halafu huyo anakuingia mitini hao wanawezana wenyewe kwa wenyewe (moto kwa moto)siyo mipigo ya east africa na ile cleanheart wao hawana hiyo wao ni moni moni (moneylakini dogo maisha ni shule acha akupopochoe kwanza mwishoni utawarudia hao hao madada wa kibongo wenye utamu kuipita asali na sukari
ReplyDelete