AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga imemalizana na mshambuliaji Ibrahim Ajibu Migomba.
Ajibu amejiunga Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.
Taarifa kutoka Yanga zinaeleza Ajibu amemalizana na Yanga mchana huu baada ya kuwa wamefanya mazungumzo mfululizo tokea juzi.
"Tulikuwa hatujamalizana katika masuala fulani ya fedha, lakini sasa naona mambo yamekaa vizuri kabisa," kilieleza chanzo.
"Ukisema Ajibu ni mchezaji wa Yanga tayari, wala hautakosea," chanzo kilisisitiza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK