Ratiba ya Awali, Mazishi ya Mzee Philemon Ndesamburo...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa wale ambao wangependa kujua kuhusiana na ratiba ya mazishi ya kumpumzisha mzee wetu Mh Philemon Ndesamburo ambaye alikuwa mbunge wa Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA kabla ya kustaafu ni kwamba ipo hivi : 


Tarehe 5/06 siku ya Jumatatu katika uwanja wa Mashujaa Moshi ndipo ndugu jamaa na marafiki na wageni watapata fursa ya kutoa heshima za mwisho.


Tarehe 6/06 siku ya Jumanne ndiyo siku rasmi ya kumpumzisha mzee, ibada ya mazishi inategemewa kufanyika nyumbani kwake kdc-kiboroloni na ndipo atakapozikwa.


Tutaendelea kujuzana kila litakalojiri.

Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Rajiun.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad