Ukweli Mchungu ..Daimond Mtazame Zari kwa Jicho la 3..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kabla ya kuanza kueleza ni kwa nini nimeamua kuandika uzi huu,natoa angalizo(Sina team so tusitukanane)Hoja hujibiwa kwa hoja.

Niende direct kwenye mada,Binafsi nieona watu wakimsifia Zari na kumuita mwanamke Shujaa ama shupavu,lakini nimekuja kugundua kuwa mwanamke wa kweli hapaswi kuwa na haiba kama ya Zari.Nasema hivi kwa sababu zifuatazo...

1) Amefiwa na mtu aliyeishi naye pika pakua kwa zaidi ya miaka 10 lakini alikuwa na nguvu ya kupost picha mtandaoni(Siyo moja)na captions juu wakati bado mazishi hayajafanyika

2) Jana kwenye kipindi cha Amplifier alihojiwa na Millard na alikuwa anaonge kwa kujiamini na sauti yake haikusikika kuwa na majonzi hata kidogo(Note:Angekuwa mwanamke mwingine angekuwa bado yuko down sana na pengine angeshindwa hata kuongea kwenye Interview)

3) Ni opportunist Mzuri sana,Kama aliweza kuzaa na Ivan watoto watatu na akapata ujasiri wa kumuacha na kwenda kwa wanaume wengine,,basi hata Dai anaweza kukuacha vile vile(Anachojua yeye ni kuwa once yo dating a rich guy,future yako na watotot wako ni ya uhakika)Mfano halisi ni sasa,aliitwa Zari the boss lady sababu ya jeuri ya fedha za Ivan,now ataitwa Zari the Don sababu ya jeuri ya fedha za Ivan pia

4) Siamini ndani ya moyo wangu kama Zari alimpenda Diamond kama Diamond,naamini ile fame ya Dai ndo iliyomvuta yeye kuwa na Dai(Na kwa hili amefariki,kwa sasa Zari ni moja ya wanawake maarufu sana Africa)So Dai watch out you never know siku fame ikiisha,je atastick up na wewe au atamove on huku akiendelea kupata child support?Ukitaka kuprove hili,jiulize ni kwa nini kipindi kile mna mgogoro mpaka mama Dai akampost Wema(Japo Maza alifanya uswahili kwa hili) Hujiulizi ni kwa nini Zari alikimbilia kushika mimba nyingine wakati Tifa alikuwa bado mdogo sana?

5) Katika malezi nimeona ana mazuri yake kama vile kuwafundisha watotot wake kujitegemea wakiwa bado wadogo lakini nimegundua pia siyo mama mzuri pia,Mama anayejisheshimu hasa wa KIAFRIKA hawezi kupiga picha anakulana denda au kashikwa ta*k*o kisha akapost mtandaoni wakati watoto wake n wakubwa,na kibay zaidi anayemshika hivyosiyo baba yao na ni mtu ambayee hawezi kuwa baba yao hata katika maisha halisi zaidi kuwa kaka yao. 

Namalizia kwa kusema hivi,Japo Zari ana roho ngumu lakini ana mazuri yake pia,Huyu mwanamke ni msafi,unaweza ukathibitisha hili kuptia picha zake,Sebule yake ni safii,Wardrobe yake poa kabisaa lakini hata yeye anajipenda sana jao she's acting like an 18 girl wakati ni mama mtu mzima anayepaswa kukaa akibehave ili wanae wajifunze kutoka kwake.

Chanzo FB
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sijaona point yoyote ya maana. Mdau ni wivu unakusumbua tu.

    ReplyDelete
  2. hamujui maisha yao walianza vp wakamalizana vp kwa hio bora to mind our own business diamond sio mtoto mdogo anjua zuri anjua baya na ana mama ambae hakulala amesha sema kigima hatoki boi so waachieni wahusika

    ReplyDelete

Top Post Ad